Kamanda wa polisi wa mkoa wa mwanza Ahmed msangi amesema vyombo vya dola pekee haviwezi kupigana vita dhidi ya uhalifu bila ya kuwepo ushirikiano na wadau wengine.
Msangi alisema hayo wakati chama cha waandishi wa habari wa kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya na uhalifu Tanzania (ojadaet),kilipokuwa kinazindua kampeni ya kupinga vitendo hivyo.
"Amani,utulivu ni bidhaa adimu,tushirikiane kuona mkoa wetu unakuwa salama,maana hata uwekezaji hawezi kuwekeza katika sehemu ambayo siyo salama,hivyo kuendelea kutokea uhalifu ni kuwaogopesha,na kukwamisha maendeleo".alisema msangi
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni