Akuzungumza juzi wilayani Hanang Dr Bendera alisema taarifa ya uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa fedha ziliokuwa zinawakabili Mabula na Mizengo waliosimamishwa tangu april 6 mwaka,zimewaingiza hatianiani.
Dr Bendera alisema kamati hiyo ilibaini kuwa Mabula na Matonya wameisababishia halmashauri hiyo madeni ikiwemo hospitali ya wilaya(Tumaini) inayodaiwa na bohari ya dawa(MSD) sh34.606 milioni,hivyo wamepoteza sifa za utumishi wamefikishwa mahakamani.
Kaz nzuri
JibuFuta