Jumanne, 7 Juni 2016

RC AAGIZA MKURUGENZI HANANG AFIKISHA MAHAKAMANI

Mkuu wa mkoa manyara dr Joel bendera ameagiza aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Hanang,Felix mabula na aliyekuwa muweka hazina wa halmashauri hiyo Matonya mzengo wafikishwe mahakamani kujibu mashtaka ya upotevu wa sh 932 milioni.


Akuzungumza juzi wilayani Hanang Dr Bendera alisema taarifa ya uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa fedha ziliokuwa zinawakabili Mabula na Mizengo waliosimamishwa tangu april 6 mwaka,zimewaingiza hatianiani.


Dr Bendera alisema kamati hiyo ilibaini kuwa Mabula na Matonya wameisababishia halmashauri hiyo madeni ikiwemo hospitali ya wilaya(Tumaini) inayodaiwa na bohari ya dawa(MSD) sh34.606 milioni,hivyo wamepoteza sifa za utumishi wamefikishwa mahakamani.

Maoni 1 :